Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Leo hii tarehe 28 April, 2025, imekuwa ni siku rasmi ya ufunguzi wa masomo katika Madrasat Al-Hadi Islamic Center iliyopo chini ya Uwakilishi wa Jamiat Al-Mustafa (s) nchini Malawi, na kurudi kwa wanafunzi kutoka likizoni. Ufunguzi huu wa masomo ya Madrasat hii umeambatana na Kisomo cha Qur'an Tukufu.

28 Aprili 2025 - 15:00

Ufunguzi wa Masomo katika Madrasat Al-Hadi Islamic Center ulioambatana na Kisomo cha Qur'an Tukufu - Nchini Malawi + Picha

Ufunguzi wa Masomo katika Madrasat Al-Hadi Islamic Center ulioambatana na Kisomo cha Qur'an Tukufu - Nchini Malawi + Picha

Madrasat Imam Al-Hadi Islamic Center - Malawi

Ufunguzi wa Masomo katika Madrasat Al-Hadi Islamic Center ulioambatana na Kisomo cha Qur'an Tukufu - Nchini Malawi + Picha

Your Comment

You are replying to: .
captcha